“Nchi imetengamaa, ina utulivu na amani iliyo muhimu kwa maendeleo ya taifa letu, uongozi wako ambao umeakisi falsafa hii, umekuwezesha kutambuliwa ndani na nje ya nchi” Dkt. Tulia Ackson – Spika wa Bunge Tanzania.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania