#MICHEZO: Baada ya Simba kupoteza mataji mawili ndani ya wiki moja, aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba SC, Ismail Aden Rage, akizungumza na @kocha.jr amesema anaamini Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, imechangia kuwavuruga kuanzia kuhamishwa uwanja na kusababisha kufungwa na Singida Big Stars.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania