“Mhe.Spika kama sote tunavyofahamu, kidole kimoja hakivunji chawa, ni dhahiri kuwa yote yaliyoelezwa, yamechangiwa na utekelezaji wa majukumu ya kikatiba ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa ibara ya 63 (2), ya katiba yetu ya Tanzania, inayolitaka Bunge kusimamia na kuishauri serikali kwa niaba ya wananchi”-Mhe.Samia Suluhu Hassan – Rais wa Tanzania.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania