Sekeseke la maandamano laikumba Kenya kufuatia sakata la kifo cha utata cha mwanablogu,Albert Ojwang,polisi yatowa taarifa ya mkanganyiko. Bajeti za mataifa ya Afrika Mashariki kwa mwaka 2025/26 zawasilishwa. Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Kusini na Chama tawala Burundi CNDD-FDD chatwaa ushindi uchaguzi wa bunge na madiwani. Jiunge na Saumu Mwasimba