#HABARI: Waziri wa Fedha, Mhe

#HABARI: Waziri wa Fedha, Mhe

#HABARI: Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amesema katika mwaka wa fedha 2025/2026 moja ya vipaumbele ni kugharamia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa fedha za ndani.

Amebainisha ya Bungeni jijini Dodoma wakati akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *