#HABARI: Watumiaji wa vyombo vya moto kupitia barabara ya Bagamoyo wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kusubiri kwenye foleni zaidi ya saa nne kufuatia lori la mafuta kuangua katikati ya barabara jana usiku eneo la Mbuyuni Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania