#HABARI: Wakati Mkutano wa Bunge unaendelea leo tarehe 06, Juni 2025, wabunge wa Viti Maalum Felister Njau na Nusrat Hanje, waliomba mwongozo baada ya kuuliza maswali na kutojibiwa ipasavyo.
#itvdigital #itvupdates #itvtanzania.
#follow @radioonetanzania