#HABARI: Wadhibiti ubora wa shule za msingi na sekondari nchini, wametakiwa kuhakikisha wanatumia mfumo wa kidigitali, kwenye kufanya ufuatiliaji wa taarifa za elimu na kuachana na matumizi ya karatasi, ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa zinazosaidia uboreshaji wa elimu.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania