#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan, akikagua Gwaride la Jeshi la Polisi, katika Sherehe za kufungwa Kozi ya Maafisa, Wakaguzi wa Jeshi la Polisi, Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, ambapo Rais Samia ni Mgeni Rasmi.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania