#HABARI: Polisi na Maafasi Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nakuru, nchini Kenya, wamewakamata washukiwa 7 wa ujambazi akiwemo raia wa Tanzania, ambao wamekuwa wakiwahangaisha wafanyabishara katika kaunti hiyo. Aidha katika ufyatulianaji risasi uliosababisha kukamatwa kwao, Afisa mmoja wa Polisi alifariki huku wawili wakijeruhiwa.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania