#HABARI: “Pili nilianza kufanya naye kazi mwaka 1994…wakati huo akiwa mdogo sana na Pili alikuwa mtu wa kujiongeza, kwa sababu alipokuja ITV Pili alikuwa hajui graphics lakini alikuwa na interest ya kujifunza graphics kwa hiyo tukampa nafasi pamoja na kazi aliyokuwa akifanya kwamba ajifunze graphics kwa muda wake yeye. Pili alijifunza graphics tukampeleka chuoni, akafaulu. Pili alikuja kuwa mwalimu wa watangazaji wa habari wote ITV…”- Mkurugenzi Mtendaji wa ITV/Radio One, Joyce Mhaville akizungumza wakati wa kuaga mwili wa marehemu Pili Saidi Ally katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar, Mei 6, 2025.
Related Posts
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, MEI 05, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, MEI 05, 2025

#NEWS: President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Dr.
#NEWS: President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Dr. Hussein Ali Mwinyi, has said that the cooperation of…
#HABARI: Moshi mweupe umeonekana ukifuka kutoka kwenye bomba la moshi katika Kanisa la Sistine Chapel, ishara hiyo sasa ni wazi …
#HABARI: Moshi mweupe umeonekana ukifuka kutoka kwenye bomba la moshi katika Kanisa la Sistine Chapel, ishara hiyo sasa ni wazi…