#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezitaka halmashauri za mkoa huo kuzingatia sheria za manunuzi wanapotekeleza miradi ya maendeleo kwa kutumia fedha za Serikali ili kuepuka hoja za Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amezitaka halmashauri za mkoa huo kuzingatia sheria za manunuzi wanapotekeleza mi…
