#HABARI: Kanisa Katoliki duniani limemtangaza Robert Prevost mwenye umri wa miaka 69, kuwa Papa mpya baada ya mchakato wa upigaj…

#HABARI: Kanisa Katoliki duniani limemtangaza Robert Prevost mwenye umri wa miaka 69, kuwa Papa mpya baada ya mchakato wa upigaji kura kukamilika.

Robert Francis Prevost anatokea nchini Marekani.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *