#HABARI: ITV imeshuhudia vijana watatu ambao ni wa mtaani wakipigana katika Soko la Kimataifa la Kariakoo ambapo ni kinyume cha …

#HABARI: ITV imeshuhudia vijana watatu ambao ni wa mtaani wakipigana katika Soko la Kimataifa la Kariakoo ambapo ni kinyume cha …

#HABARI: ITV imeshuhudia vijana watatu ambao ni wa mtaani wakipigana katika Soko la Kimataifa la Kariakoo ambapo ni kinyume cha sheria.

Baadhi ya mashuhuda, wametoa maoni jinsi ya kuwatunza vijana hao.

#itvdigital #itvupdates #itvtanzania.

#follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *