#CRDBBankFederationCup: Mchambuzi wa soka @leomusikula_tz amewataja wachezaji wa kuchungwa kwa Simba SC na Singida BS kuelekea mechi ya leo ya nusu fainali ya CRDB Bank Federation Cup.
Mechi itapigwa saa 9:30 alasiri na itakuwa LIVE #AzamSports1HD
(Imeandikwa na @allymufti_tz)
#CRDBBankFederationCup #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #SimbaSC #SingidaBlackStars #SimbaSingidaBS