“….’commitment’ ya Serikali ni ile ile kuhakikisha mechi hii ya Fainali kati ya Simba na Berkane tarehe 27 mwezi huu, ambayo ni mechi ya kihistoria sana inachezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa…..Mechi ile itachezwa palepale na hakuna mahali inaenda….” -Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo – Hamis Mwinjuma
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania