Takribani watu 14 wapoteza maisha, 750 wajeruhiwa kwa mlipuko mkubwa katika bandari kuu ya Iran
Chanzo cha picha, EPA Takribani watu 14 wamepoteza maisha na 750 kujeruhiwa katika mlipuko mkubwa katika bandari moja muhimu ya…
Habari na burudani
Chanzo cha picha, EPA Takribani watu 14 wamepoteza maisha na 750 kujeruhiwa katika mlipuko mkubwa katika bandari moja muhimu ya…
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 16 zilizopita Liverpool itajaribu kumshawishi kiungo wa kati wa England Adam Wharton, 21, kuondoka…
Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, amezikwa katika Kanisa la Santa Maria Maggiore Basilica jijini Roma nchini Italia, baada…
Takriban watu 19 waliuawa na watu wenye silaha katika shambulio kwenye eneo la uchimbaji madini ya dhahabu katika jimbo la…
Marekani na Iran zinakutana nchini Oman siku ya Jumamosi kwa duru ya tatu ya mazungumzo muhimu kuhusu mpango wa nyuklia…
Vaticani inajiandaa kwa ajili ya mazishi ya Papa Francis, kiongozi wa kanisa Katoliki aliyeaga dunia mapema wiki hii yatakayofanyika Jumamosi…
Shirika la habari la Reuters limeweza kuoata nakala ya mapendekezo pingamizi kutoka maafisa wa nchi za Ulaya na Ukraine kuhusu…
Rwanda na jirani yake DRC zimekubaliana kufanyia kazi rasimu ya makubaliano ya amani ifikapo Mei 2 kufuatia miezi kadhaa ya…
Chanzo cha picha, BBC News Maelezo ya picha, Mchoro: Jaribio litazunguka Dunia kwa saa tatu kabla ya kurejea Duniani na…
Chanzo cha picha, Getty Images Ibada ya mazishi ya Papa Francis inafanyika leo Jumamosi katika Uwanja wa Mtakatifu Petro mjini…
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimelaani kitendo cha kukamatwa kwa wanachama wake kumi na watatu na kutawanywa kwa…
Leo Ijumaa, Aprili 25, ni Siku ya Kimataifa ya Malaria. Zaidi ya watu milioni 263 walipata ugonjwa huo mnamo 2023,…
Kwa nia ya kuimarisha uoto wa kimataifa na kukabiliana vilivyo na mabadiliko ya hali ya hewa, Umoja wa Mataifa ulipitisha,…
Donald Trump ametia saini agizo la kiutendaji siku ya Alhamisi, Aprili 24, lenye lengo la kufungua uchimbaji mkubwa wa madini…
Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani Marco Rubio anatarajiwa kushuhudia utiaji saini wa makubaliano kati ya DRC na Rwanda,…
Rais wa Ukaine Volodymyr Zelensky alikuwa Afrika Kusini siku ya Alhamisi Aprili 24. Alipokelewa na Rais Cyril Ramaphosa katika ikulu…
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka linapaza sauti baada ya mmoja wa wafanyakazi wake kuuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo kuhusu taarifa Author, Paul Kirby Nafasi, Mhariri BBC Dakika 27 zilizopita Hapo awali Vladimir…
Chanzo cha picha, AP Jeshi la Israeli limekiri kuhusika na mauaji ya mfanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) kwa kutumia…
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 30 zilizopita Arsenal wako katika hatua ya juu katika mazungumzo ya kumsajili kiungo wa…
Maelezo kuhusu taarifa Author, Abdalla Seif Dzungu Nafasi, BBC Swahili Twitter, @SeifDzungu Akiripoti kutoka Nairobi Kenya Dakika 30 zilizopita Pato…
Mashambulizi ya makombora ya Urusi na ndege zisizo na rubani yaliyoendeshwa usiku wa Jumatano 23 kuamkia Alhamisi 24 Aprili yamesababisha…
Mamlaka ya India siku ya Jumatano, Aprili 24, imechukua mfululizo wa hatua za kidiplomasia dhidi ya Pakistani, ikiishutumu kwa “ugaidi…
Rais wa Kenya William Ruto yuko katika ziara ya kiserikali nchini China kuanzia Aprili 22 hadi Aprili 26, 2025, ikiwa…
Nchini Madagascar, mkutano wa tano wa kilele wa Kamisheni ya Bahari ya Hindi (IOC) umefunguliwa leo Alhamisi, Aprili 24, siku…
Nchini Korea Kusini, “sakata” dhidi ya rais inaendelea. Moon Jae-in hapo awali alikuwa rais pekee wa zamani aliyeepushwa na matatizo…
Chanzo cha picha, EPA Dakika 26 zilizopita Kila wakati Papa Francis alirudi Roma baada ya safari ya nje ya nchi,…
Nchini Benin, kwa mujibu wa chanzo cha kijeshi, ripoti ya hivi punde zaidi ya shambulio la Aprili 17 kaskazini mwa…
Chanzo cha picha, EPA Maelezo ya picha, Jeneza la Papa Francis litalala katika Jimbo la Kanisa kuu la Mtakatifu Petro…
Chanzo cha picha, AFP Maelezo ya picha, Tundu Lissu anakabiliwa na shitaka la uhaini Maelezo kuhusu taarifa Author, Basillioh Rukanga…
Chanzo cha picha, Reuters Maelezo ya picha, Massad Boulos anasema ushuru wa Marekani na kupunguzwa kwa misaada unalenga kuimarisha uwazi…
Rais wa Kenya William Ruto ambaye yuko ziarani Beijing, nchini China, ametilia shaka umuhimu wa muundo wa sasa wa Baraza…
Rais wa Tume huru ya kutetea haki wa binadamu nchini Burundi, CNIDH Sixte Vigny NIMURABA, amelazimika kukimbia nchi, baada ya…
DR Congo na waasi wa M23 wakubaliana usitishwaji wa vita mara moja, wakiahidi kuendelea na mazungumzo Imechapishwa: 24/04/2025 – 04:49…
Nchini Cote Dvoire, chama kikuu cha upinzani PDCI kimeitisha maandamano mbele ya Mahakama hivi leo, kulaani hatua ya kuondolewa kwa…
Ofisi ya rais wa Afrika Kusini imetangaza ziara ya Volodymyr Zelensky mjini Pretoria siku ya Alhamisi, Aprili 24. Mkutano huu…
Je, Paul Biya atawania kwa muhula mwingine tena katika uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Oktoba 2025? Akiwa na umri wa…
Nchini DRC, hukumu ya kifungo cha miaka 20 jela imeombwa dhidi ya Augustin Matata Ponyo Mapon siku ya Jumatano, Aprili…
Chanzo cha picha, Reuters Maelezo ya picha, Rais Ramaphosa na mwenzake wa Ukraine Zelensky Maelezo kuhusu taarifa Author, Farouk Chothia…
Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 16 zilizopita Aston Villa wamefanya majadiliano ya ndani kuhusu uwezekano wa kumnunua kiungo wa…
Chanzo cha picha, KL Maelezo ya picha, Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe Tanzania imepiga marufuku rasmi bidhaa zote…
Chanzo cha picha, Traoré Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam Dakika 2 zilizopita…
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, Mkuu wa majeshi na mtoto wa rais Yoweri Museveni, amekutana siku ya Jumanne, Aprili 22, karibu na…
Waasi wa M23 wamesitisha ushiriki wao katika mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Kongo huko Doha, nchini Qatar.…
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Jumanne, Aprili 22, kwamba anataka kuhitimisha makubaliano “kwa kiasi kikubwa” kupunguza ushuru…
Maelezo ya picha, Abby Wu, ambaye amefanyiwa upasuaji zaidi ya 100, ni mmoja wa waathiriwa wa kwanza wa upasuaji wa…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Papa Francis Dakika 34 zilizopita Papa Francis, mzaliwa wa Jorge Mario Bergoglio,…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Kiasi cha maji unachohitaji hutegemea mambo kadhaa, kama vile umri wako, jinsia,…
Vita nchini Ukraine na njia za kufikia usitishaji vita na Urusi ni ajenda ya mkutano wa leo Jumatano, Aprili 23,…
Tangu kifo cha Francis, amekuwa mtu mashuhuri. Kadinali Mmarekani mwenye asili ya Ireland Kevin Farrell, kama Camerlengo, anawajibika kusimamia masuala…