🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 MEI 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 MEI 2025
Habari na burudani
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 MEI 2025
#MALUMBANOYAHOJA: “Biashara zimekwama kwa upande wetu kwa sababu wageni wanauwezo mkubwa wa mitaji lakini wengine wanamiliki hata maviwanda………..” Severine Mushi…
#MALUMBANOYAHOJA: “Watu wengine wanafikiri tunalenga watu wa taifa fulani, lakini operesheni ile inayofanyika hailengi watu wa Taifa moja ile inakwenda…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pongezi kwa Kardinali Robert Francis Prevost, kwa kuwa…
🔴MALUMBANOYAHOJA: WATANZANIA WAKISHIRIKIANA NA WAGENI KUKWAMISHA UTEKELEZAJI WA RIPOTI YA HALI YA BIASHARA SOKO LA KIMATAIFA KARIAKOO. JE WANA UZALENDO…
#HABARI: Kanisa Katoliki duniani limemtangaza Robert Prevost mwenye umri wa miaka 69, kuwa Papa mpya baada ya mchakato wa upigaji…
#HABARI: Mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), aliyejulikana kwa jina la Flavian Musiba Chamuriho (22), anayedaiwa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU, MEI 08, 2025: TANZANIA NA MSUMBIJI KUKUZA UCHUMI MAENEO YA MIPAKANI
#HABARI: Wakulima wa zao la Mahindi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, wameomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuwapatia dawa ya kuulia wadudu…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo Tabora, chini ya Jopo la Majaji watatu, imeanza kusikiliza kesi namba 3965 ya…
#HABARI: Moshi mweupe umeonekana ukifuka kutoka kwenye bomba la moshi katika Kanisa la Sistine Chapel, ishara hiyo sasa ni wazi…
#HABARI: Wakulima waliopata elimu ya kilimo bora katika Kijiji cha Isuna B, katika Kata ya Isuna, wilayani Ikungi, mkoani Singida,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA DODOMA: 08 MEI 2025 – MKANDARASI WA SOKO LA MAJENGO ATAKIWA KUONGEZA KASI.
#PICHA: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewaongoza Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu…
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi imara wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Afya…
“Kwa muda mrefu watu walifikiri na mimi naamini inahitaji marekebisho gulani na kama utakavyokumbuka wakati wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete,…
#MALUMBANOYAHOJA: WATANZANIA WAKISHIRIKIANA NA WAGENI KUKWAMISHA UTEKELEZAJI WA RIPOTI YA HALI YA BIASHARA SOKO LA KIMATAIFA KARIAKOO. JE WANA UZALENDO…
“Sasa unanisamehe mimi nitasema maoni yangu, juu ya suala hili unapohusisha jamii mbili zenye historia mbalimbali au mila mbali mbali…
“Kama inavyofahamika muungano huu umekuja baada ya Mapinduzi Zanzibar, Waasisi wetu Mzee Nyerere na Abeid Karume wakakaa wakakubalia nchi zao…
🔴#MEZAHURU: UMUHIMU WA RUFAA ZA SOKA , MAY 7 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, MEI 08, 2025
#HABARI: Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, akiwasilisha Bajeti ya Mageuzi ya Sekta ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/26, ametumia…
#HABARI: Mizinga ya heshima imepigwa leo Tarehe 08 Mei, 2025 wakati wa Mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mh.Daniel…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, MEI 08, 2025
#HABARI: Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila, umemkamata Bw. David Mhame, mkazi wa Yombo Kilakala Dar es Salaam na…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, MEI 08, 2025
“….lakini mapema wiki iliyopita Jeshi letu la Wananchi, lilitoa tangazo la ajira na likaweka hicho kigezo, ambacho sisi Bunge zima…
#HABARI: Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja ametangaza kupatikana kwa bunduki iliyotumika kumpiga risasi na kumuua Mbunge wa Kasipul Charles…
#MEZAHURU: Kwa nini Rufaa nyingi za soka zinazofanywa, Bodi ya Ligi au TFF , zinakuwaga hazina mashiko kwenye maamuzi, unahisi…
“Kuhusu Wakandarasi wa Ndani, ambao wanatekeleza zaidi ya asilimia 70 ya kazi za Sekta ya Maji, napenda kuwambia, Wizara itaendelea…
#HABARI: Kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwaka huu, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa Stephen Wasira amewaagiza Viongozi na Wajumbe…
#HABARI: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ametumia jukwaa la Bunge kuvipongeza vilabu vikubwa vya soka nchini- Simba Sports Club na…
#HABARI: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi msimamo wake kuhusu hali ya kisiasa nchini, ikisisitiza kuwa hakuna…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, MEI 08, 2025
“Jumla ya miradi ya maji 2,331 imekamilika ambapo 1,965 ni ya vijijini na 366 ni ya mijini na hivyo kuboresha…
#HABARI: Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, leo Mei 8, 2025 limesimama kwa takriban dakika moja kumuombea marehemu Cleopa…
“…mimi nimeoa Upareni, Mtu ambaye alinisaidia sana katika kumpata Mke wangu alikuwa ni Bwana Msuya, nakumbuka hata siku nilipopeleka mahari…
#HABARI: Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso leo Alhamisi tarehe 8 Mei 2025, atawasilisha Bajeti ya Mageuzi Sekta ya Maji…
🔴KUMEKUCHA KISHINDO: ELIMU KIDIJITALI, KOZI NA AJIRA……MEI 08, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, MEI 08, 2025
#KIPIMAJOTO: Siasa za vyama vingi Tanzania. Je, watu wanavutiwa na sera au mvuto wa Mgombea katika Chama husika?
🔴VIGOGO WAJITOA CHADEMA, CCM YAWAKARIBISHA….MEI 08, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI: MEI 08, 2025
#HABARI: Wagonjwa waliotibiwa na madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi wa Dk. Samia, katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida,…
#HABARI: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewahimiza maafisa maendeo ya jamii nchini kushirikiana na…
#HABARI: Moshi mweusi umetoka kwenye bomba la paa la Kanisa la Sistine, Vatican, ukiashiria kwamba Papa mpya bado hajapatikana. Makardinali…
#HABARI: Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, CPA. Amos Mkalla, amepiga goti kuwaomba wakazi Mvomero, wamruhusu aendelee kumsaidia Mwenyekiti…