MPASUKO WAIBUA MVUTANO – MAPYA CHADEMA / GSM AIPA YANGA UBINGWA
MPASUKO WAIBUA MVUTANO – MAPYA CHADEMA / GSM AIPA YANGA UBINGWA
Habari na burudani
MPASUKO WAIBUA MVUTANO – MAPYA CHADEMA / GSM AIPA YANGA UBINGWA
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI: MEI 10, 2025
“Suala la kujichukulia sheria mkononi, wananchi kwa sehemu mbalimbali wamekuwa wakijichukulia sheria mkononi”
“Ndoa za utotoni bado ni changamoto kwa bara lakini pia kwa visiwani Zanzibar”
“Kwa upande wa Zanzibar, matukio makuu ambayo yanaleta changamoto kwenye haki za binadamu ni masuala ya ukatili, hasahasa ukatili dhidi…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 09 MEI 2025
🔴KIPIMAJOTO:”RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU 2024. JE, NINI KIBORESHWE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025?”
#KIPIMAJOTO:”Ripoti ya Haki za Binadamu 2024. Je, Nini Kiboreshwe kuelekea uchaguzi mkuu 2025?”
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU, MEI 09, 2025: KITUO MAMA CHA KUJAZA GESI KWENYE MAGARI CHAZINDULIWA
#AIBUYAKO: Kipindi hiki kinaangazia makosa yanayofanywa na wamiliki wa magari, kutembelea magari yasiyo na usajili halalali na wengine kubandika vibao…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA KILIMANJARO: 09 MEI 2025 –
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan keshokutwa Jumapili anatarajiwa kuwaongoza Watanzania, kuaga kitaifa mwili…
#HABARI: Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), mkoani Kilimanjaro, limeziondoa kwa nguvu familia saba zilizokuwa zinaishi kwenye nyumba mbili za…
#HABARI: Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Mhe. Maryam Ahmed Muhaji ametoa wito kwa jamii kuunganisha nguvu za pamoja katika kusaidia…
#HABARI: Naibu Waziri wa Nishati Mhe Judith Kapinga amezindua rasmi kituo mama cha kujaza gesi asilia kwenye magari kilichopo ubungo…
🔴#MEZAHURU: URASIMISHAJI WA KAZI ZA SANAA….MEI 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
#HABARI: Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mussa Azzan Zungu, ametoa pongezi kwa Waziri wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
#HABARI: Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amesema kuwa miaka minne ya uongozi wa Rais wa Jamhuri…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
#HABARI: Siku ya Ijumaa Mei 9, 2025 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha kwa asilimia 100 Makadirio ya…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
#HABARI: Katika kikao cha wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth), Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania,…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
#HABARI: Marekani imetangaza kupunguza msaada wa dola za Marekani milioni 50 (TZS bilioni 134.3) kwa sekta ya afya nchini Zambia,…
#HABARI: Kanisa Katoliki duniani jana Mei 8, 2025, liliweka historia mpya kwa kumtangaza Papa mpya Robert Francis Prevost. Kuchaguliwa kwa…
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike ili wasanii wafaidike kwenye Urasimishaji wa kazi zao za sanaa? Tupe mawazo yako.
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55, MEI 09, 2025
🔴KUMEKUCHA MICHEZO: USHINDI WA KIBABE SIMBA DHIDI YA PAMBA JIJI |MEI 09 2025
🔴ODONDOZIWAMAGAZETI: KESI ZA LISSU: TAMKO LA BUNGE LA ULAYA LAZUA JAMBO|MEI 09, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI: MEI 09, 2025
Changamoto ya utekaji na ukiukwaji wa haki za binadamu. Je, kuundiwa chombo maalum cha kuzishughulikia ni suluhisho la kudumu?
“Tunamkumbuka sana baba yetu, ametuletea umeme, ametuletea maji, ametutendea vyema” #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania. #Follow @radioonetanzania
#HABARI: Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amewasihi Watanzania kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kuilinda na kuitunza miundombinu…
#MALUMBANOYAHOJA: “Sheria yetu inatamka muwekezaji awe na dola laki tano…..inatamka mtaji haisemi akafanye biashara wapi kwa hiyo kama ni mtaji…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 MEI 2025
#MALUMBANOYAHOJA: “Biashara zimekwama kwa upande wetu kwa sababu wageni wanauwezo mkubwa wa mitaji lakini wengine wanamiliki hata maviwanda………..” Severine Mushi…
#MALUMBANOYAHOJA: “Watu wengine wanafikiri tunalenga watu wa taifa fulani, lakini operesheni ile inayofanyika hailengi watu wa Taifa moja ile inakwenda…
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pongezi kwa Kardinali Robert Francis Prevost, kwa kuwa…
🔴MALUMBANOYAHOJA: WATANZANIA WAKISHIRIKIANA NA WAGENI KUKWAMISHA UTEKELEZAJI WA RIPOTI YA HALI YA BIASHARA SOKO LA KIMATAIFA KARIAKOO. JE WANA UZALENDO…
#HABARI: Kanisa Katoliki duniani limemtangaza Robert Prevost mwenye umri wa miaka 69, kuwa Papa mpya baada ya mchakato wa upigaji…
#HABARI: Mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), aliyejulikana kwa jina la Flavian Musiba Chamuriho (22), anayedaiwa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU, MEI 08, 2025: TANZANIA NA MSUMBIJI KUKUZA UCHUMI MAENEO YA MIPAKANI
#HABARI: Wakulima wa zao la Mahindi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, wameomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuwapatia dawa ya kuulia wadudu…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo Tabora, chini ya Jopo la Majaji watatu, imeanza kusikiliza kesi namba 3965 ya…