Makala ya Afrika wiki hii

SAUMU YUSUF13 Juni 2025

Sekeseke la maandamano laikumba Kenya kufuatia sakata la kifo cha utata cha mwanablogu,Albert Ojwang,polisi yatowa taarifa ya mkanganyiko. Bajeti za mataifa ya Afrika Mashariki kwa mwaka 2025/26 zawasilishwa. Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Kusini na Chama tawala Burundi CNDD-FDD chatwaa ushindi uchaguzi wa bunge na madiwani. Jiunge na Saumu Mwasimba

https://p.dw.com/p/4vsvr

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *