Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Chama kikuu cha upinzani nchini Tanania, Chadema kimetoa msimamo wake kuhusu amri ya hivi karibuni ya mahakama kuu ya kuwataka viongozi wa chama hicho kutojishughulisha na siasa / Mzozo kati ya Israel na Iran unaendelea kuibua wasiwasi wa kimataifa