“Kwanza kuhusu uwanja wa ndege, uwanja wa Ndege wa Msalato imekuwa ni dhima ya viongozi wote waliokutangulia, lakini safari hatua imekamilika kipindi chako tunakupongeza sana, ndoto ya viongozi wote waliokutangulia imetimia hongera sana Mhe.Rais”- Mhe.Jakaya Kikwete – Rais Mstaafu wa Tanzania.
#Follow @radioonetanzania
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.