“….hivyo basi swali lililoulizwa na Mhe. Felister Njau halikujibiwa na Mh. Naibu Waziri, Mbunge wa Viti Maalum ana haki sawa Mbunge mwingine kuuliza swali, lakini mapendekezo ya Mhe. Naibu Waziri kushirikiana kati ya Wabunge yako sawasawa….” Spika wa Bunge – Dkt. Tulia Ackson
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania