#HABARI: Kuelekea siku ya bonanza la Mac D 2025, Afisa Masoko kutoka Bodi ya Utalii Tanzania, Bw. Albert Mboto amesema Bodi ya Utalii Tanzania imejipanga vyema kutumia siku hiyo kutangaza vivutio vya utalii vinavyopatikana ndani ya nchi ya Tanzania.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania