#CRDBBankFederationCup: “Ni bahati mbaya tu Singida Black Stars wameangukia mikononi mwetu” maneno ya Mbunge wa Viti Maalumu, An…

#CRDBBankFederationCup: “Ni bahati mbaya tu Singida Black Stars wameangukia mikononi mwetu” maneno ya Mbunge wa Viti Maalumu, An…

#CRDBBankFederationCup: “Ni bahati mbaya tu Singida Black Stars wameangukia mikononi mwetu” maneno ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest akiuzungumzia mchezo wa kesho wa nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kati ya Simba SC dhidi ya Singida BS.

Mechi itapigwa saa 9:30 alasiri na itakuwa LIVE #AzamSports1HD

(Imeandikwa na @allymufti_tz))

#CRDBBankFederationCup #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #SimbaSC #SingidaBlackStars #SimbaSingidaBS

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *