#HABARI: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, ameeleza namna ambavyo nchi inaweza kutaj…

#HABARI: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, ameeleza namna ambavyo nchi inaweza kutaj…

#HABARI: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, ameeleza namna ambavyo nchi inaweza kutajirika kwa ufugaji mzuri na wenye tija.

Heche ameyasema hayo alipokuwa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara alipokuwa akizungumza na wakazi wa maeneo hayo.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *