#HABARI: Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, moto ambao haujafahamika chanzo chake, umeunguza fremu iliyokuwa inauz…

#HABARI: Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, moto ambao haujafahamika chanzo chake, umeunguza fremu iliyokuwa inauza maziwa katika eneo la Mabibo – Jeshini jijini Dar es Salaam.

Hata hivyo, inaelezwa Jeshi la Zimamoto limefika eneo hilo na kufanikiwa kuudhibiti moto huo.

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *