”Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgeni rasmi na kusheherekea tukio hili muhimu kwa Watanzania hususani wananchi wa kanda ya ziwa la uzinduzi rasmi wa daraja la John Pombe Magufuli yani Kigongo Busisi, Mh Mwenyekiti kukamilika kwa daraja kutakuwa ni faraja ya wakazi wa kanda ya ziwa ambao wamekuwa wakitumia muda wa takribani masaa mawili kwa kuvuka upande mmoja kwenda upande mwingine“ Mh. Abdalah Ulega waziri wa Ujenzi.
Related Posts
#HABARI: Mafuriko yaliyoathiri kaya zaidi ya 300, na kutengeneza bwawa katika Mtaa wa Katubuka Manispaa ya Kigoma Ujiji, sasa ya…
#HABARI: Mafuriko yaliyoathiri kaya zaidi ya 300, na kutengeneza bwawa katika Mtaa wa Katubuka Manispaa ya Kigoma Ujiji, sasa yamevunja…
#MEZAHURU: Ni malezi yapi sahihi mtoto kuyapata kutoka kwa wazazi wake?
#MEZAHURU: Ni malezi yapi sahihi mtoto kuyapata kutoka kwa wazazi wake?
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU, MEI 06, 2025: MAHAKAMA YAAMURU LISSU AFIKISHWE MAHAKAMANI MEI 19
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU, MEI 06, 2025: MAHAKAMA YAAMURU LISSU AFIKISHWE MAHAKAMANI MEI 19