“Kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila kuwa na operator (human intervention)

“Kufunga mfumo wa kielektroniki ambao unawezesha magari kupimwa kwenye mizani bila kuwa na operator (human intervention). Hadi sasa, mizani 20 ya kupima magari yakiwa kwenye mwendo (Weigh-in-Motion) imefungwa katika vituo vya mizani vya Vigwaza, Mikese, Mikumi, Wenda, Mpemba, Nala, Njuki, Kimokouwa, Dakawa na Rubana,” – Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *