18.06.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S18 Juni 2025

Kwa siku ya sita mfululizo Israel na Iran zimeendelea kushambuliana//Afisa mmoja wa polisi nchini Kenya amekamatwa mara moja baada ya kumpiga risasi raia asiye na silaha Jumanne katika maandamano ya kupinga ukatili wa polisi yaliyofanyika jijini Nairobi.

https://p.dw.com/p/4w8ca

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *