Vidio iliyopatikana kwenye simu ya mfanyakazi wa Kipalestina wa huduma za tiba aliyeuawa shahidi pamoja na wenzake 14 huko Ghaza mwezi uliopita, inasuta na kukinzana na madai yaliyotolewa na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuhusu namna mauaji ya wahudumu hao yalivyotokea.
Related Posts
Sudan yaafiki kuanzishwa nchini humo kambi ya jeshi la wanamaji la Russia
Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan. Post Views: 23
Khartoum na Moscow zimekubaliana juu ya kuanzishwa kituo cha jeshi la wanamaji la Russia nchini Sudan. Post Views: 23

Hezbollah yatangaza ‘jibu la awali’ kwa Israeli kwa mauaji ya Fuad Shukr huko Beirut
Hezbollah yatangaza ‘jibu la awali’ kwa Israeli kwa mauaji ya Fuad Shukr huko Beirut t alisema kuwa upinzani wa Kiislamu…
Hezbollah yatangaza ‘jibu la awali’ kwa Israeli kwa mauaji ya Fuad Shukr huko Beirut t alisema kuwa upinzani wa Kiislamu…
Iran yasisitizia kuharakishwa utekelezaji wa makubaliano kati yake na Qatar
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kutilia mkazo…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Amir wa Qatar na kutilia mkazo…