Israel yatumia njaa kama silaha ya vita huku Mabakeri yote Gaza yakifungwa

Utawala haramu wa Israel unaendelea kutumia njaa kama silaha ya vita huku taarifa zikisema unga wa ngano umemalizika kabisa katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha kufungwa kwa mabakeri yote.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *