Israel yasalimu amri baada ya kushindwa kuiangamiza HAMAS

Baada ya mapigano ya miezi 15 huko Ghaza hatimaye utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kusalimu amri na kukubali makubaliano ya kusitisha mapigano bila ya kufanikiwa kuiangamiza Hamas wala kokomboa mateka wa Kizayuni.