Israel yafanya mauaji mengine ya kutisha Gaza, yaua zaidi ya 103 leo Alkhamisi

Idadi ya Wapalestina waliouawa katika mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Alhamisi ya leo mepindukia 103. Utawala vamizi wa Israel umezidisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya watu wa Gaza, sanjari na ziara ya sasa Rais wa Marekani, Donald Trump, Mashariki ya Kati iliyoanza Jumanne iliyopita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *