Idadi ya Wapalestina waliouawa katika mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Alhamisi ya leo mepindukia 103. Utawala vamizi wa Israel umezidisha mashambulizi yake ya anga dhidi ya watu wa Gaza, sanjari na ziara ya sasa Rais wa Marekani, Donald Trump, Mashariki ya Kati iliyoanza Jumanne iliyopita.
Related Posts

Maandamano makubwa yafanyika kila pembe ya dunia kulaani mauaji ya kinyama katika Skuli ya Al-Tabeen, Ghaza
Watu katika nchi na mataifa mbalimbali duniani wameandamana kulalamikia na kulaani mauaji ya kimbari na ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa…
Watu katika nchi na mataifa mbalimbali duniani wameandamana kulalamikia na kulaani mauaji ya kimbari na ya kinyama ya Wapalestina yaliyofanywa…
Hamas yakubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa imekubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli anayeshikiliwa huko Ghaza, baada ya…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa imekubali kumwachilia huru mateka Mmarekani-Muisraeli anayeshikiliwa huko Ghaza, baada ya…
Wagonjwa laki mbili hatarini kufariki dunia Ghaza kutokana na Israel kuendelea kufunga vivuko
Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa watu 200,000 wenye maradhi thakili wako hatarini kupoteza maisha kutokana na jeshi la…
Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa watu 200,000 wenye maradhi thakili wako hatarini kupoteza maisha kutokana na jeshi la…