Duru za habari zimeripoti kuwa, usiku wa kuamkia leo, utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya mashambulio yasiyopungua 20 ya anga dhidi ya viunga ya mji mkuu wa Syria Damascus, Dara’a, na Hama yakiwa ndio makali zaidi dhidi ya nchi hiyo tangu ulipoanza mwaka huu wa 2025.
Related Posts
Iran yalalamikia vikali azimio la Baraza la Haki za Binadamu la UN
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Geneva amekosoa vikali kupitishwa kwa azimio la kupinga…
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Geneva amekosoa vikali kupitishwa kwa azimio la kupinga…
Miradi ya nyuklia ya Iran inaweza kuangamizwa?
Kuna swali jepesi linaloulizwa lakini muhimu; nalo ni: kwa nini mpango wa nyuklia wa Iran hauwezi kuangamizwa, tena hata kwa…
Kuna swali jepesi linaloulizwa lakini muhimu; nalo ni: kwa nini mpango wa nyuklia wa Iran hauwezi kuangamizwa, tena hata kwa…
Russia yasisitiza: Iran iko sahihi kabisa, haki za kinyuklia za kila nchi haziwezi kupingwa
Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa yenye makao yao mjini Vienna ametilia nguvu msimamo wa Jamhuri ya…
Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa yenye makao yao mjini Vienna ametilia nguvu msimamo wa Jamhuri ya…