Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

Wapalestina wasiopungua 33 wameuawa shahidi katika muda wa saa 24 zilizopita huko Gaza, maafisa wa afya katika eneo hilo lililo chini ya mzingiro wameripoti.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *