Takwimu rasmi zinaonesha kuwa, raia 12 wa Palestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni kwenye maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Ghaza hususan katikati mwa ukanda huo. Ukatili huo ulianzia usiku wa manane jana na kuendelea mpaka asubuhi.
Related Posts
Wanahabari Nigeria wataka Israel iwekewe vikwazo vya mafuta, gesi
Mwenyekiti wa Muungano wa Waandishi wa Habari wa Nigeria (NUJ), Ibrahim Muhammad, ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuungana na…
Mwenyekiti wa Muungano wa Waandishi wa Habari wa Nigeria (NUJ), Ibrahim Muhammad, ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuungana na…
Maelefu waandamana Marekani kumpinga Trump
Maelfu ya watu waliingia mitaani kote Marekani siku ya Jumamosi kupinga hatua zilizochukuliwa hivi majuzi na Rais Donald Trump. Post…
Maelfu ya watu waliingia mitaani kote Marekani siku ya Jumamosi kupinga hatua zilizochukuliwa hivi majuzi na Rais Donald Trump. Post…
Ni marufuku wenye paspoti za Israel kuingia Maldives kutokana na jinai za Wazayuni Ghaza
Maldives haitawaruhusu tena watu wenye pasi za kusafiria za utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo. Post Views: 13
Maldives haitawaruhusu tena watu wenye pasi za kusafiria za utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo. Post Views: 13