Israel yaendeleza mauaji ya kikatili Ukanda wa Ghaza, Yemen yapiga tena

Takwimu rasmi zinaonesha kuwa, raia 12 wa Palestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni kwenye maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Ghaza hususan katikati mwa ukanda huo. Ukatili huo ulianzia usiku wa manane jana na kuendelea mpaka asubuhi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *