Israel yaendeleza mashambulio ya kiwendawazimu Ghaza

Israel yaendeleza mashambulio ya kiwendawazimu Ghaza

Duru za habari za ndani ya Palestina zimeripoti mapema leo Jumanne kwamba ndege za kivita za Israel zimefanya mashambulizi makali na ya kiwendawazimu katika maeneo mbalimbali ya mji wa Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *