Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendeleza mashambulio katika Ukanda wa Ghaza licha ya kutangazwa makubaliano ya kusitisha vita kati ya utawala huo ghasibu na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS. Hadi wakati huu, Wapalestina wasiopungua 40 wameshauliwa shahidi na jeshi hilo.
Related Posts
Mwanadiplomasia: Kuna mawasiliano yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na watawala wa Syria
Mjumbe maalum wa waziri wa mambo ya nje wa Iran katika masuala ya Syria amethibitisha kwamba Iran ina mawasiliano yasiyo…
Mjumbe maalum wa waziri wa mambo ya nje wa Iran katika masuala ya Syria amethibitisha kwamba Iran ina mawasiliano yasiyo…
Kumalizika mkutano wa 38 wa wakuu Umoja wa Afrika Addis Ababa
Mkutano wa 38 wakuu wa Umoja wa Afrika ulimalizika jana katika makao makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa Ethiopia.…
Mkutano wa 38 wakuu wa Umoja wa Afrika ulimalizika jana katika makao makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa Ethiopia.…
Abbas Araghchi na Katibu Mkuu wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi walijadili mambo gani?
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekumbusha kuhusu uungaji mkono ulioonyeshwa na nchi za Kiarabu…
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekumbusha kuhusu uungaji mkono ulioonyeshwa na nchi za Kiarabu…