Ismail Baqaei: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vimegonga mwamba

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uraibu wa Marekani wa kuwekea vikwazo mataifa mengine na kubainisha kwamba, vikwazo vya Washington dhidi ya Tehran vimeshindwa na kutokuwa na natija.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *