Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimepokea zana na vifaa mbalimbali vya kijeshi vilivyoundwa na kutengenezwa hapa nchini Iran, ikiwemo meli ya kivita ya Shahidi Rais Ali Delvari na makumi ya meli za mashambulizi ya haraka zenye mifumo ya kurusha makombora.
Related Posts

India yafanyia majaribio mfumo mpya wa kombora la kukinga mizinga
India yafanyia majaribio mfumo mpya wa kombora la kukinga mizinga (VIDEO)Waziri wa Ulinzi Rajnath Singh amepongeza jeshi na wakala wa…
UN: Kila kitu kinakaribia kumalizika huko Gaza, ikiwa ni pamoja na uhai wa watu
Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa kila kitu katika Ukanda wa Gaza kinakaribia…
Iran yalaani shambulizi la kigaidi la Balochistan, Pakistan
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi katika jimbo la Balochistan nchini Pakistani,…