IRGC kuzindua manowari mpya kama za US, au bora zaidi

Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Admeli Alireza Tangsiri amesema yumkini SEPAH ikazindua manowari mpya ambazo muundo wake unashabihiana au utakuwa bora zaidi kuliko wa Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *