Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha madai ya Baraza la Ushirikiano wa Ghuba ya Uajemi kwamba Iran inaingilia mamlaka ya visiwa vya Boumousi, Tunb Kubwa na Tunb Ndogo katika Ghuba ya Uajemi na kuyataja kuwa ni ukiukaji wa wazi wa kanuni na sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
Related Posts
Marufuku ya Israel dhidi ya shughuli za UNRWA kuanza kutekelezwa leo
Licha ya malalamiko ya walimwengu na asasi muhimu kama Umoja wa Mataifa, lakini utawala wa Israel umekataa kubadilisha uamuzi wake…
Licha ya malalamiko ya walimwengu na asasi muhimu kama Umoja wa Mataifa, lakini utawala wa Israel umekataa kubadilisha uamuzi wake…
NBC: Trump amtaka Zelensky ampatie umiliki wa asilimia 50 wa madini adimu ya Ukraine
Kwa mujibu wa maafisa wanne wa Marekani, utawala wa Trump umependekeza kwa Ukraine kwamba iwapo nchi hiyo itaipatia Marekani asilimia…
Kwa mujibu wa maafisa wanne wa Marekani, utawala wa Trump umependekeza kwa Ukraine kwamba iwapo nchi hiyo itaipatia Marekani asilimia…
Ripoti: EU inakabiliwa na mgogoro wa afya ya akili ya vijana
Mgogoro wa afya ya akili kwa vijana katika nchi za Umoja wa Ulaya (EU) unazidi kuongezeka. Mjadala katika Bunge la…
Mgogoro wa afya ya akili kwa vijana katika nchi za Umoja wa Ulaya (EU) unazidi kuongezeka. Mjadala katika Bunge la…