Iraq: Tunaunga mkono mazungumzo ya Iran na Marekani

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq Fuad Hussein amesema kuwa, nchi yake inaunga mkono mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *