Iran yatangaza utayarifu wa kupanua ushirikiano na Afrika katika nyanja za afya na tiba

Mshauri Mkuu wa Waziri wa Afya na Elimu ya Tiba wa Iran ametangaza utayarifu wa sekta ya afya ya Jamhuri ya Kiislamu wa Iran kupanua ushirikiano wa kiuchumi na nchi za Kiafrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *