Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko bega kwa bega na wananchi wanamapambano wa Yemen na ametoa wito wa kukomeshwa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukiukwaji wa wazi wa sheria za kibinadamu na kanuni za kimataifa unaofanywa na Marekani dhidi ya watu wa Yemen.
Related Posts
Jeshi la Sudan latangaza kudhibiti maeneo mengi ya mashariki mwa Khartoum
Ripoti kutoka Sudan zinasema, jeshi la nchi hiyo linakaribia kutangaza mji wa Khartoum Bahri kuwa huru kutoka kwa Vikosi vya…
Ripoti kutoka Sudan zinasema, jeshi la nchi hiyo linakaribia kutangaza mji wa Khartoum Bahri kuwa huru kutoka kwa Vikosi vya…
Iran kwa mara nyingine yatilia mkazo wajibu wa kukomeshwa mara moja jinai Ghaza
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema kuwa, kuna wajibu wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuhakikisha utawala wa…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema kuwa, kuna wajibu wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuhakikisha utawala wa…
Mwanasheria Mmarekani: Israel imeua Wapalestina 360,000 Gaza
Mwanasheria mashuhuri wa Marekani na mwanaharakati wa haki za watu asilia anakadiria kuwa jeshi la Israel limewaua takriban watu 360,000…
Mwanasheria mashuhuri wa Marekani na mwanaharakati wa haki za watu asilia anakadiria kuwa jeshi la Israel limewaua takriban watu 360,000…