Iran yataka kusitishwa kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa mashambulizi ya Marekani huko Yemen

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu iko bega kwa bega na wananchi wanamapambano wa Yemen na ametoa wito wa kukomeshwa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukiukwaji wa wazi wa sheria za kibinadamu na kanuni za kimataifa unaofanywa na Marekani dhidi ya watu wa Yemen.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *