Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *