Iran yasambaratisha mtandao wa magaidi wakufurishaji na kunasa silaha nyingi 

Katika operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi, vikosi vya usalama vya Iran vimesambaratisha mtandao mkubwa wa magaidi wakufurishaji na kukamata silaha na mabomu kadhaa katika mkoa wa kusini-mashariki wa Sistan na Baluchestan.