Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi amesema Umoja wa Mataifa, hasa Baraza lake la Usalama, lazima uchukue msimamo “imara na wa wazi” dhidi ya mpango wa Marekani na Israel unaolenga kuwaondoa kwa nguvu Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza.
Related Posts
Wanajeshi 14 wa Israel wauawa kusini mwa Lebanon, vyanzo vya Israel vinasema
Wanajeshi 14 wa Israel wauawa kusini mwa Lebanon, vyanzo vya Israel vinasema Takriban wanajeshi 14 wa Israel wameuawa katika uvamizi…
Zelensky alijificha kwenye chumba chake – mkuu wa zamani wa NATO
Zelensky alijificha kwenye chumba chake – mkuu wa zamani wa NATOKiongozi wa Ukrain alitumia siku nyingi kujificha kutoka kwa watu…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Mpango wa kuanzisha serikali nyingine mezaliwa ukiwa maiti
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema mpango wa makundi ya upinzani yakiongozwa na Rapid Support Forces…