Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Geneva amekosoa vikali kupitishwa kwa azimio la kupinga Iran katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, akilitaja kuwa ni kitendo cha kibaguzi na kinachopunguza itibari wa baraza hilo.
Related Posts
Iran yasisitiza kuwa uwezo wake wa kiulinzi na kijeshi hauwezi katu kuwa suala la kujadiliwa
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema, uwezo wa kiulinzi wa Iran hauwezi katu kuwa…
Jumapili, Pili Februari, 2025
Leo ni Jumapili tarehe Tatu Shaaban 1446 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe Pili Februari 2025 Miladia. Post Views: 16
Ansarullah yapuuza hatua ya Marekani kuiweka harakati hiyo kwenye orodha yake ya magaidi
Ansarullah ya Yemen imepuuza uamuzi wa hivi karibuni wa Marekani wa kuiweka harakati hiyo ya Muqawama kwenye orodha ya makundi…